2 Wafalme 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na ikawa kwamba mfalme wa Israeli alipokuwa akipita juu ya ukuta, mwanamke fulani akamlilia, akisema: “Okoa, Ee bwana wangu mfalme!”+ Mathayo 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na ule umati, wale waliokuwa wakienda mbele yake na wale waliokuwa wakifuata wakawa wakipaaza sauti: “Mwokoe Mwana wa Daudi, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova!+ Mwokoe, tunaomba, katika vilele vilivyo juu!”+
26 Na ikawa kwamba mfalme wa Israeli alipokuwa akipita juu ya ukuta, mwanamke fulani akamlilia, akisema: “Okoa, Ee bwana wangu mfalme!”+
9 Na ule umati, wale waliokuwa wakienda mbele yake na wale waliokuwa wakifuata wakawa wakipaaza sauti: “Mwokoe Mwana wa Daudi, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova!+ Mwokoe, tunaomba, katika vilele vilivyo juu!”+