Zaburi 118:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ah, sasa, Yehova, uokoe, tafadhali!+Ah, sasa, Yehova, ufanikishe, tafadhali!+ Mathayo 9:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yesu alipokuwa akipita kutoka huko, wanaume wawili vipofu+ wakamfuata, wakipaaza sauti na kusema: “Uturehemu,+ Mwana wa Daudi.” Mathayo 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wakuu wa makuhani na waandishi walipoyaona mambo ya kustaajabisha aliyofanya+ na wale wavulana waliokuwa wakipaaza sauti katika hekalu na kusema: “Mwokoe Mwana wa Daudi, tunaomba!”+ wakaghadhibika
27 Yesu alipokuwa akipita kutoka huko, wanaume wawili vipofu+ wakamfuata, wakipaaza sauti na kusema: “Uturehemu,+ Mwana wa Daudi.”
15 Wakuu wa makuhani na waandishi walipoyaona mambo ya kustaajabisha aliyofanya+ na wale wavulana waliokuwa wakipaaza sauti katika hekalu na kusema: “Mwokoe Mwana wa Daudi, tunaomba!”+ wakaghadhibika