Mambo ya Walawi 26:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na hakika mimi nitaangamiza mahali penu patakatifu pa juu+ na kuvikatilia mbali vinara vyenu vya uvumba na kuilaza mizoga yenu wenyewe juu ya mizoga ya sanamu zenu za mavi;+ nayo nafsi yangu itawachukia ninyi.+ 1 Wafalme 12:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Naye akaanza kujenga nyumba ya mahali pa juu+ na kuweka makuhani kutoka kwa watu wa kawaida, ambao hawakuwa wa wana wa Lawi.+
30 Na hakika mimi nitaangamiza mahali penu patakatifu pa juu+ na kuvikatilia mbali vinara vyenu vya uvumba na kuilaza mizoga yenu wenyewe juu ya mizoga ya sanamu zenu za mavi;+ nayo nafsi yangu itawachukia ninyi.+
31 Naye akaanza kujenga nyumba ya mahali pa juu+ na kuweka makuhani kutoka kwa watu wa kawaida, ambao hawakuwa wa wana wa Lawi.+