Zaburi 121:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Hatasinzia wala kulala usingizi,+Yeye anayelinda Israeli.+ Zaburi 135:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Zina masikio, lakini haziwezi kusikia lolote.+Pia hazina roho yoyote katika vinywa vyao.+ Isaya 40:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Je, hujajua au, je, hujasikia?+ Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu mpaka wakati usio na kipimo.+ Yeye hachoki wala hazimii.+ Haiwezekani kuchunguza kikamilifu uelewaji wake.+
28 Je, hujajua au, je, hujasikia?+ Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu mpaka wakati usio na kipimo.+ Yeye hachoki wala hazimii.+ Haiwezekani kuchunguza kikamilifu uelewaji wake.+