Yohana 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mimi ndiye mlango;+ yeyote yule anayeingia kupitia kwangu ataokolewa, naye ataingia na kutoka na kupata malisho.+ Yohana 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye njia+ na kweli+ na uzima.+ Hakuna anayekuja kwa Baba ila kupitia kwangu.+
9 Mimi ndiye mlango;+ yeyote yule anayeingia kupitia kwangu ataokolewa, naye ataingia na kutoka na kupata malisho.+
6 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye njia+ na kweli+ na uzima.+ Hakuna anayekuja kwa Baba ila kupitia kwangu.+