17 Akamwambia mara ya tatu: “Simoni mwana wa Yohana, je, unanipenda?” Petro akahuzunika kwamba alimwambia mara ya tatu: “Je, unanipenda?” Kwa hiyo akamwambia: “Bwana, wewe unajua mambo yote;+ unajua kwamba ninakupenda.” Yesu akamwambia: “Lisha kondoo wangu wadogo.+