2 Mambo ya Nyakati 33:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akaendelea kusali kwake Yeye, hivi kwamba Yeye akakubali kusihiwa+ naye kisha Yeye akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake;+ na Manase akapata kujua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+ 1 Yohana 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tukiungama dhambi zetu,+ yeye ni mwaminifu na mwadilifu hata atusamehe dhambi zetu na kutusafisha ukosefu wote wa uadilifu.+
13 Naye akaendelea kusali kwake Yeye, hivi kwamba Yeye akakubali kusihiwa+ naye kisha Yeye akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake;+ na Manase akapata kujua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+
9 Tukiungama dhambi zetu,+ yeye ni mwaminifu na mwadilifu hata atusamehe dhambi zetu na kutusafisha ukosefu wote wa uadilifu.+