14 Kuna ubatili unaofanyika duniani, kwamba kuna watu waadilifu wanaopatwa na mambo kana kwamba ni kazi ya waovu,+ na kuna waovu wanaopatwa na mambo kana kwamba ni kazi ya waadilifu.+ Nilisema hilo pia ni ubatili.
10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote,+ kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi+ wala hekima+ katika Kaburi,*+ mahali unapokwenda.+