Mhubiri 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nimeona kila jambo katika siku zangu za ubatili.+ Yuko mwadilifu anayeangamia katika uadilifu wake,+ na yuko mwovu anayeendelea kuishi kwa muda mrefu katika ubaya wake.+ Mathayo 27:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Pilato akawaambia: “Basi, nitafanya nini na Yesu anayeitwa Kristo?” Wote wakasema: “Atundikwe mtini!”+
15 Nimeona kila jambo katika siku zangu za ubatili.+ Yuko mwadilifu anayeangamia katika uadilifu wake,+ na yuko mwovu anayeendelea kuishi kwa muda mrefu katika ubaya wake.+
22 Pilato akawaambia: “Basi, nitafanya nini na Yesu anayeitwa Kristo?” Wote wakasema: “Atundikwe mtini!”+