Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 17:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Naye Daudi akamwambia yule Mfilisti: “Unakuja kwangu ukiwa na upanga na mkuki na fumo,+ lakini mimi naja kwako nikiwa na jina la Yehova wa majeshi,+ Mungu wa vikosi vya Israeli, ambaye umemtukana.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 13:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na tazama! pamoja nasi yuko mbele yetu Mungu wa kweli+ pamoja na makuhani+ wake na tarumbeta+ za ishara kwa ajili ya kupiga king’ora cha vita juu yenu. Enyi wana wa Israeli, msipigane na Yehova Mungu wa mababu zenu,+ kwa maana hamtafanikiwa.”+

  • Zaburi 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Tutapiga vigelegele kwa shangwe kwa sababu ya wokovu wako,+

      Nasi tutainua bendera zetu katika jina la Mungu wetu.+

      Yehova na atimize maombi yako yote.+

  • Methali 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki