17 hakika nitakubariki nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga zilizo kando ya bahari;+ na uzao wako utamiliki lango la adui zake.+
23 Na Daudi hakuhesabu wale waliokuwa na umri wa miaka 20 kurudi chini, kwa sababu Yehova alikuwa ameahidi kufanya Israeli kuwa wengi kama nyota za mbinguni.+