21 “Na kwa wana wa Lawi, tazama! nimewapa kila sehemu ya kumi+ katika Israeli iwe urithi wao kwa sababu ya utumishi wao wanaofanya, utumishi wa hema la mkutano.
30 “Nawe utawaambia, ‘Mnapochanga vilivyo bora kutoka kwa hivyo,+ ndipo itahesabiwa kwa Walawi kama mazao ya uwanja wa kupuria na kama mazao ya shinikizo la divai au la mafuta.