Zaburi 89:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Uadilifu na hukumu ndizo mahali palipofanywa imara pa kiti chako cha ufalme;+Fadhili zenye upendo na ukweli zinaingia mbele za uso wako.+ Zaburi 97:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+Uadilifu na hukumu ni mahali palipofanywa imara pa kiti chake cha ufalme.+ Zaburi 99:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na kwa nguvu za mfalme ameipenda hukumu.+Wewe mwenyewe umeufanya imara unyoofu.+Umetekeleza hukumu na uadilifu katika Yakobo.+ Waroma 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana hakuna ubaguzi kwa Mungu.+
14 Uadilifu na hukumu ndizo mahali palipofanywa imara pa kiti chako cha ufalme;+Fadhili zenye upendo na ukweli zinaingia mbele za uso wako.+
2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+Uadilifu na hukumu ni mahali palipofanywa imara pa kiti chake cha ufalme.+
4 Na kwa nguvu za mfalme ameipenda hukumu.+Wewe mwenyewe umeufanya imara unyoofu.+Umetekeleza hukumu na uadilifu katika Yakobo.+