Zaburi 31:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Iweni hodari, nayo mioyo yenu na iwe na nguvu,+Ninyi nyote mnaomngojea Yehova.+ Mika 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+
7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+