Zaburi 34:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Walimtazama, wakang’aa,+Nazo nyuso zao hazingeweza kuona haya kamwe.+ Zaburi 123:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Kama vile macho ya watumishi yalivyo kuelekea mkono wa bwana wao,+Kama vile macho ya mjakazi yalivyo kuelekea mkono wa bimkubwa wake,+Ndivyo yalivyo macho yetu kumwelekea Yehova Mungu wetu.+Mpaka atuonyeshe kibali.+ Isaya 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nami nitaendelea kumtarajia Yehova,+ ambaye anauficha uso wake kutoka kwa nyumba ya Yakobo,+ nami nitamtumaini yeye.+
2 Tazama! Kama vile macho ya watumishi yalivyo kuelekea mkono wa bwana wao,+Kama vile macho ya mjakazi yalivyo kuelekea mkono wa bimkubwa wake,+Ndivyo yalivyo macho yetu kumwelekea Yehova Mungu wetu.+Mpaka atuonyeshe kibali.+
17 Nami nitaendelea kumtarajia Yehova,+ ambaye anauficha uso wake kutoka kwa nyumba ya Yakobo,+ nami nitamtumaini yeye.+