Zaburi 37:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kaa kimya mbele za Yehova+Na kumngojea kwa kutamani.+Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya mtu yeyote anayeifanikisha njia yake,+Kwa sababu ya mtu anayetimiza mawazo yake.+ Zaburi 71:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini mimi, nitangoja daima,+Nami nitaongezea sifa zako zote.
7 Kaa kimya mbele za Yehova+Na kumngojea kwa kutamani.+Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya mtu yeyote anayeifanikisha njia yake,+Kwa sababu ya mtu anayetimiza mawazo yake.+