Kumbukumbu la Torati 28:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 “Ikiwa hutakuwa mwangalifu kutimiza maneno yote ya sheria hii ambayo yameandikwa katika kitabu+ hiki ili kuliogopa hili jina tukufu+ na lenye kuogopesha,+ naam,Yehova,+ Mungu wako, Zaburi 148:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na walisifu jina la Yehova,+Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+Utukufu wake uko juu ya dunia na mbingu.+ Mathayo 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Basi, ninyi msali hivi:+ “ ‘Baba yetu uliye mbinguni, jina+ lako na litakaswe.+ Yohana 17:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nami nimewajulisha+ jina lako nami nitalijulisha, ili upendo ulionipenda nao upate kuwa ndani yao nami katika muungano pamoja nao.”+
58 “Ikiwa hutakuwa mwangalifu kutimiza maneno yote ya sheria hii ambayo yameandikwa katika kitabu+ hiki ili kuliogopa hili jina tukufu+ na lenye kuogopesha,+ naam,Yehova,+ Mungu wako,
13 Na walisifu jina la Yehova,+Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+Utukufu wake uko juu ya dunia na mbingu.+
26 Nami nimewajulisha+ jina lako nami nitalijulisha, ili upendo ulionipenda nao upate kuwa ndani yao nami katika muungano pamoja nao.”+