Zaburi 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu kama nini katika dunia yote,+Wewe ambaye utukufu wako unasimuliwa juu ya mbingu!+ Isaya 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na katika siku hiyo hakika mtasema: “Mpeni Yehova shukrani!+ Liitieni jina lake.+ Tangazeni matendo yake kati ya vikundi vya watu.+ Semeni kwamba jina lake limeinuliwa juu.+
8 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu kama nini katika dunia yote,+Wewe ambaye utukufu wako unasimuliwa juu ya mbingu!+
4 Na katika siku hiyo hakika mtasema: “Mpeni Yehova shukrani!+ Liitieni jina lake.+ Tangazeni matendo yake kati ya vikundi vya watu.+ Semeni kwamba jina lake limeinuliwa juu.+