Zaburi 58:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwadilifu atashangilia kwa sababu ameona kisasi.+Ataosha miguu yake katika damu ya mwovu.+ Isaya 37:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yehova amesema neno hili juu yake:“Bikira, binti Sayuni, amekudharau, amekudhihaki.+Binti Yerusalemu ametikisa kichwa chake nyuma yako.+ Ufunuo 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Furahini juu yake, enyi mbingu,+ pia ninyi watakatifu+ na ninyi mitume+ na ninyi manabii, kwa sababu Mungu amemtoza adhabu ya hukumu kwa ajili yenu!”+
22 Yehova amesema neno hili juu yake:“Bikira, binti Sayuni, amekudharau, amekudhihaki.+Binti Yerusalemu ametikisa kichwa chake nyuma yako.+
20 “Furahini juu yake, enyi mbingu,+ pia ninyi watakatifu+ na ninyi mitume+ na ninyi manabii, kwa sababu Mungu amemtoza adhabu ya hukumu kwa ajili yenu!”+