Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 52:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nao waadilifu wataona hilo na kuogopa,+

      Nao watamcheka.+

  • Zaburi 64:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na mwadilifu atashangilia katika Yehova na kwa kweli atamkimbilia;+

      Nao wote walio wanyoofu moyoni watajisifu.+

  • Zaburi 107:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Wanyoofu huona na kushangilia;+

      Lakini ukosefu wote wa uadilifu utafunga kinywa chake.+

  • Ezekieli 25:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nami nitafanya katikati yao matendo makubwa ya kisasi, kwa makaripio yenye ghadhabu;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapoleta kisasi changu juu yao.” ’ ”+

  • Ufunuo 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Furahini juu yake, enyi mbingu,+ pia ninyi watakatifu+ na ninyi mitume+ na ninyi manabii, kwa sababu Mungu amemtoza adhabu ya hukumu kwa ajili yenu!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki