17 Nami nitafanya katikati yao matendo makubwa ya kisasi, kwa makaripio yenye ghadhabu;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapoleta kisasi changu juu yao.” ’ ”+
20 “Furahini juu yake, enyi mbingu,+ pia ninyi watakatifu+ na ninyi mitume+ na ninyi manabii, kwa sababu Mungu amemtoza adhabu ya hukumu kwa ajili yenu!”+