Yeremia 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 ‘Mzeituni wenye majani mengi, wenye kupendeza kwa kuwa na matunda na kwa umbo,’ ndivyo ambavyo Yehova amekuita jina lako.+ Kwa sauti ya mngurumo mkubwa, amewasha moto juu yake, nao wamevunja matawi yake.+ Hosea 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Matawi yake yatasambaa, na utukufu wake utakuwa kama ule wa mzeituni,+ na harufu yake nzuri itakuwa kama ile ya mti wa Lebanoni.
16 ‘Mzeituni wenye majani mengi, wenye kupendeza kwa kuwa na matunda na kwa umbo,’ ndivyo ambavyo Yehova amekuita jina lako.+ Kwa sauti ya mngurumo mkubwa, amewasha moto juu yake, nao wamevunja matawi yake.+
6 Matawi yake yatasambaa, na utukufu wake utakuwa kama ule wa mzeituni,+ na harufu yake nzuri itakuwa kama ile ya mti wa Lebanoni.