Zaburi 52:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini nitakuwa kama mzeituni+ wenye majani mengi katika nyumba ya Mungu;Nazitegemea fadhili zenye upendo za Mungu mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+ Waroma 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Hata hivyo, ikiwa matawi mengine yalikatwa lakini wewe, ujapokuwa mzeituni wa mwitu, ulipandikizwa katikati yake+ na kuwa mshiriki wa mzizi wa unono+ wa mzeituni,+
8 Lakini nitakuwa kama mzeituni+ wenye majani mengi katika nyumba ya Mungu;Nazitegemea fadhili zenye upendo za Mungu mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+
17 Hata hivyo, ikiwa matawi mengine yalikatwa lakini wewe, ujapokuwa mzeituni wa mwitu, ulipandikizwa katikati yake+ na kuwa mshiriki wa mzizi wa unono+ wa mzeituni,+