Zaburi 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kamba za kifo zilinizunguka;+Mafuriko ya ghafula ya watu wasiofaa kitu pia yaliendelea kuniogopesha.+ Zaburi 116:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kamba za kifo zilinizunguka+Na hali zenye kutaabisha za Kaburi* zikanipata.+Nikaendelea kupata taabu na huzuni.+ Isaya 38:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mimi nilisema: “Katikati ya siku zangu nitaingia katika malango+ ya Kaburi.*Nitanyimwa mabaki+ ya miaka yangu.”
4 Kamba za kifo zilinizunguka;+Mafuriko ya ghafula ya watu wasiofaa kitu pia yaliendelea kuniogopesha.+
3 Kamba za kifo zilinizunguka+Na hali zenye kutaabisha za Kaburi* zikanipata.+Nikaendelea kupata taabu na huzuni.+
10 Mimi nilisema: “Katikati ya siku zangu nitaingia katika malango+ ya Kaburi.*Nitanyimwa mabaki+ ya miaka yangu.”