Mwanzo 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mungu akaanza kuumba wanyama wakubwa mno wa baharini+ na kila nafsi hai inayotembea,+ wakajaa majini kulingana na aina zake, na kila kiumbe kinachoruka chenye mabawa kulingana na aina yake.+ Kisha Mungu akaona ya kuwa ilikuwa vyema. Ayubu 41:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 “Je, unaweza kumvua Lewiathani*+ kwa ndoano,Au, je, unaweza kuufunga ulimi wake kwa kamba?
21 Mungu akaanza kuumba wanyama wakubwa mno wa baharini+ na kila nafsi hai inayotembea,+ wakajaa majini kulingana na aina zake, na kila kiumbe kinachoruka chenye mabawa kulingana na aina yake.+ Kisha Mungu akaona ya kuwa ilikuwa vyema.