Zaburi 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu kama nini katika dunia yote,+Wewe ambaye utukufu wako unasimuliwa juu ya mbingu!+ Waebrania 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi kuhusu mambo yanayozungumzwa jambo kuu ni hili: Sisi tuna kuhani mkuu+ wa namna hii, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Ukuu mbinguni,+
8 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu kama nini katika dunia yote,+Wewe ambaye utukufu wako unasimuliwa juu ya mbingu!+
8 Basi kuhusu mambo yanayozungumzwa jambo kuu ni hili: Sisi tuna kuhani mkuu+ wa namna hii, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Ukuu mbinguni,+