Zaburi 28:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Usinikokote pamoja na watu waovu na pamoja na wanaotenda mambo yenye kuumiza,+Wale wanaosema amani na wenzao+ lakini ambao katika mioyo yao mna jambo lililo baya.+ 2 Wathesalonike 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na ili tukombolewe kutoka kwa watu wenye madhara na waovu,+ kwa maana imani si mali ya watu wote.+
3 Usinikokote pamoja na watu waovu na pamoja na wanaotenda mambo yenye kuumiza,+Wale wanaosema amani na wenzao+ lakini ambao katika mioyo yao mna jambo lililo baya.+