Zaburi 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yule anayeketi mbinguni+ atacheka;Yehova mwenyewe atawadharau.+ Zaburi 37:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova mwenyewe atamcheka,+Kwa maana hakika yeye anaona kwamba siku yake itakuja.+ Methali 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mimi pia, kwa upande wangu, nitacheka taabu yenu wenyewe,+ na jambo mnalohofu litakapokuja nitafanya mzaha,+
26 Mimi pia, kwa upande wangu, nitacheka taabu yenu wenyewe,+ na jambo mnalohofu litakapokuja nitafanya mzaha,+