Zaburi 64:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao wanasababisha mtu ajikwae.+Lakini ulimi wao huwapinga wao wenyewe.+Wote wanaowatazama watatikisa kichwa chao,+ Methali 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtu mbaya hunaswa kwa kosa la midomo,+ lakini mwadilifu hutoka katika taabu.+ Methali 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kinywa cha mjinga ni uharibifu wake,+ na midomo yake ni mtego wa nafsi yake.+
8 Nao wanasababisha mtu ajikwae.+Lakini ulimi wao huwapinga wao wenyewe.+Wote wanaowatazama watatikisa kichwa chao,+