Mambo ya Walawi 7:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana mtu yeyote anayekula mafuta kutoka kwa mnyama anayemtoa awe toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, nafsi inayokula itakatiliwa mbali+ na watu wake. Zaburi 36:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wao hunywa na kushiba vinono vya nyumba yako;+Nawe huwanywesha kwenye mito ya raha zako.+ Yeremia 31:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nitaishibisha nafsi ya makuhani kwa mafuta,+ na watu wangu watashiba wema,”+ asema Yehova.
25 Kwa maana mtu yeyote anayekula mafuta kutoka kwa mnyama anayemtoa awe toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, nafsi inayokula itakatiliwa mbali+ na watu wake.