Zaburi 145:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nao wataongea juu ya nguvu za mambo yako yenye kuogopesha;+Nami nitautangaza ukuu wako.+ Yeremia 50:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Kuna sauti ya wale wanaokimbia na wale wanaoponyoka kutoka katika nchi ya Babiloni+ ili kutangaza katika Sayuni kisasi cha Yehova Mungu wetu,+ kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+ Yeremia 51:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova ametuletea matendo ya uadilifu.+ Njooni na acheni sisi tusimulie katika Sayuni kazi ya Yehova Mungu wetu.”+
28 “Kuna sauti ya wale wanaokimbia na wale wanaoponyoka kutoka katika nchi ya Babiloni+ ili kutangaza katika Sayuni kisasi cha Yehova Mungu wetu,+ kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+
10 Yehova ametuletea matendo ya uadilifu.+ Njooni na acheni sisi tusimulie katika Sayuni kazi ya Yehova Mungu wetu.”+