Zaburi 51:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Unikomboe kutokana na hatia ya damu,+ Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu,+Ili ulimi wangu upate kutangaza uadilifu wako kwa shangwe.+ Zaburi 126:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wakati huo kinywa chetu kilijaa kicheko,+Na ulimi wetu vigelegele vya shangwe.+Wakati huo walianza kusema kati ya mataifa:+“Yehova amefanya jambo kuu katika yale ambayo amewafanyia.”+
14 Unikomboe kutokana na hatia ya damu,+ Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu,+Ili ulimi wangu upate kutangaza uadilifu wako kwa shangwe.+
2 Wakati huo kinywa chetu kilijaa kicheko,+Na ulimi wetu vigelegele vya shangwe.+Wakati huo walianza kusema kati ya mataifa:+“Yehova amefanya jambo kuu katika yale ambayo amewafanyia.”+