9 Naye akawaambia wanaume hao: “Najua hakika ya kwamba Yehova atawapa nchi hii,+ na ya kwamba tumeshikwa na hofu kwa sababu yenu,+ na ya kwamba wakaaji wote wa nchi wamevunjika moyo kwa sababu yenu.+
16 Na ikawa kwamba, mara tu adui zetu+ waliposikia jambo hilo na mataifa yote yaliyotuzunguka kuona jambo hilo, mara moja wakaona aibu sana machoni pao wenyewe, nao wakatambua kwamba kazi hii ilifanywa kutokana na msaada wa Mungu wetu.+