Zaburi 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Unionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki kali.+Mambo yenye kukera yamefanya jicho langu liwe dhaifu,+ naam, nafsi yangu na tumbo langu.+ Zaburi 40:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ee Yehova, upendezwe na kunikomboa.+Ee Yehova, ufanye haraka kuja kunisaidia.+ Zaburi 70:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 70 Ee Mungu, katika kunikomboa,+Ee Yehova, ufanye haraka kuja kunisaidia.+
9 Unionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki kali.+Mambo yenye kukera yamefanya jicho langu liwe dhaifu,+ naam, nafsi yangu na tumbo langu.+