Zaburi 51:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ee Yehova, na uifungue hii midomo yangu,+Ili kinywa changu mwenyewe kipate kutangaza sifa yako.+ Zaburi 145:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kinywa changu kitasema sifa za Yehova;+Na wote wenye mwili na walibariki jina lake takatifu mpaka wakati usio na kipimo, hata milele.+ Waebrania 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+
21 Kinywa changu kitasema sifa za Yehova;+Na wote wenye mwili na walibariki jina lake takatifu mpaka wakati usio na kipimo, hata milele.+
15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+