Zaburi 34:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nitambariki Yehova nyakati zote;+Daima sifa yake itakuwa katika kinywa changu.+ Zaburi 51:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ee Yehova, na uifungue hii midomo yangu,+Ili kinywa changu mwenyewe kipate kutangaza sifa yako.+ Zaburi 71:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kinywa changu kimejawa na sifa zako,+Mchana kutwa na uzuri wako.+ Zaburi 89:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 89 Nitaimba juu ya maonyesho ya fadhili zenye upendo za Yehova mpaka wakati usio na kipimo.+Kwa kinywa changu nitajulisha uaminifu wako kwa kizazi baada ya kizazi.+
89 Nitaimba juu ya maonyesho ya fadhili zenye upendo za Yehova mpaka wakati usio na kipimo.+Kwa kinywa changu nitajulisha uaminifu wako kwa kizazi baada ya kizazi.+