Zaburi 37:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Lakini wakosaji hakika wataangamizwa pamoja;+Wakati ujao wa watu waovu hakika utakatiliwa mbali.+ Mhubiri 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini mambo hayatakuwa mema kwa mwovu,+ wala hatarefusha siku zake zilizo kama kivuli,+ kwa sababu hamwogopi Mungu.+
13 Lakini mambo hayatakuwa mema kwa mwovu,+ wala hatarefusha siku zake zilizo kama kivuli,+ kwa sababu hamwogopi Mungu.+