Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 16:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yehova ndiye sehemu ya fungu langu+ nililogawiwa na ya kikombe changu.+

      Wewe unaishika sana kura yangu.

  • Zaburi 119:57
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  57 Yehova ni fungu langu;+

      Nimeahidi kuyashika maneno yako.+

  • Zaburi 142:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Nilikuitia wewe, Ee Yehova, kwa ajili ya msaada.+

      Nikasema: “Wewe ni kimbilio langu,+

      Fungu+ langu katika nchi ya walio hai.”+

  • Maombolezo 3:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Yehova ni fungu langu,”+ nafsi yangu imesema, “ndiyo sababu nitaonyesha mtazamo wa kumngojea.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki