Zaburi 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova ndiye sehemu ya fungu langu+ nililogawiwa na ya kikombe changu.+Wewe unaishika sana kura yangu. Zaburi 119:57 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Yehova ni fungu langu;+Nimeahidi kuyashika maneno yako.+ Zaburi 142:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nilikuitia wewe, Ee Yehova, kwa ajili ya msaada.+Nikasema: “Wewe ni kimbilio langu,+Fungu+ langu katika nchi ya walio hai.”+ Maombolezo 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Yehova ni fungu langu,”+ nafsi yangu imesema, “ndiyo sababu nitaonyesha mtazamo wa kumngojea.”+
5 Yehova ndiye sehemu ya fungu langu+ nililogawiwa na ya kikombe changu.+Wewe unaishika sana kura yangu.
5 Nilikuitia wewe, Ee Yehova, kwa ajili ya msaada.+Nikasema: “Wewe ni kimbilio langu,+Fungu+ langu katika nchi ya walio hai.”+