Hesabu 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Katika nchi yao hutakuwa na urithi, wala hakuna fungu lolote litakalokuwa lako katikati yao.+ Mimi ni fungu lako na urithi wako katikati ya wana wa Israeli.+ Zaburi 73:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mwili wangu na moyo wangu vimeshindwa.+Mungu ni mwamba wa moyo wangu na fungu langu mpaka wakati usio na kipimo.+ Maombolezo 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Yehova ni fungu langu,”+ nafsi yangu imesema, “ndiyo sababu nitaonyesha mtazamo wa kumngojea.”+
20 Na Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Katika nchi yao hutakuwa na urithi, wala hakuna fungu lolote litakalokuwa lako katikati yao.+ Mimi ni fungu lako na urithi wako katikati ya wana wa Israeli.+
26 Mwili wangu na moyo wangu vimeshindwa.+Mungu ni mwamba wa moyo wangu na fungu langu mpaka wakati usio na kipimo.+