Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Katika nchi yao hutakuwa na urithi, wala hakuna fungu lolote litakalokuwa lako katikati yao.+ Mimi ni fungu lako na urithi wako katikati ya wana wa Israeli.+

  • Zaburi 73:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Mwili wangu na moyo wangu vimeshindwa.+

      Mungu ni mwamba wa moyo wangu na fungu langu mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Maombolezo 3:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Yehova ni fungu langu,”+ nafsi yangu imesema, “ndiyo sababu nitaonyesha mtazamo wa kumngojea.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki