Mwanzo 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mungu akaendelea kusema: “Kuwe na mianga katika anga la mbingu ili kutenganisha mchana na usiku;+ nayo iwe ishara na kwa ajili ya majira na kwa ajili ya siku na miaka.+ Zaburi 74:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mchana ni wako; pia, usiku ni wako.+Wewe mwenyewe uliutayarisha mwanga, naam, jua.+
14 Mungu akaendelea kusema: “Kuwe na mianga katika anga la mbingu ili kutenganisha mchana na usiku;+ nayo iwe ishara na kwa ajili ya majira na kwa ajili ya siku na miaka.+