Zaburi 138:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitainama kuelekea hekalu lako takatifu,+Nami nitalisifu jina lako,+Kwa sababu ya fadhili zako zenye upendo+ na kwa sababu ya ukweli wako.+Kwa maana umeyatukuza maneno yako+ hata juu ya jina lako lote.+ Isaya 30:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Tazama! Jina la Yehova linakuja kutoka mbali, likiwaka kwa hasira+ yake na kwa mawingu mazito. Na midomo yake imejaa shutuma, na ulimi wake ni kama moto unaoteketeza.+
2 Nitainama kuelekea hekalu lako takatifu,+Nami nitalisifu jina lako,+Kwa sababu ya fadhili zako zenye upendo+ na kwa sababu ya ukweli wako.+Kwa maana umeyatukuza maneno yako+ hata juu ya jina lako lote.+
27 Tazama! Jina la Yehova linakuja kutoka mbali, likiwaka kwa hasira+ yake na kwa mawingu mazito. Na midomo yake imejaa shutuma, na ulimi wake ni kama moto unaoteketeza.+