Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kumbuka siku za kale,+

      Fikirieni miaka iliyopita kutoka kizazi mpaka kizazi;

      Muulize baba yako, naye anaweza kukuambia;+

      Wanaume wenu wazee, nao wanaweza kukuambia.+

  • Zaburi 143:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Nimezikumbuka siku za zamani za kale;+

      Nimetafakari juu ya utendaji wako wote;+

      Kwa kupenda niliendelea kuhangaikia kazi ya mikono yako mwenyewe.+

  • Isaya 51:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Amka, amka, jivike nguvu,+ Ee mkono wa Yehova!+ Amka kama katika siku za zamani za kale, kama katika vizazi vya nyakati zilizopita zamani.+ Je, si wewe uliyemvunja Rahabu+ vipande-vipande, uliyemchoma kwa silaha yule mnyama mkubwa wa baharini?+

  • Isaya 63:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wakati wa taabu zao zote hilo lilimtaabisha.+ Na mjumbe wake binafsi akawaokoa.+ Katika upendo wake na katika huruma yake yeye mwenyewe aliwakomboa,+ naye akawainua na kuwachukua siku zote za zamani za kale.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki