Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+

      Kwa maana njia zake zote ni haki.+

      Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+

      Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+

  • Zaburi 19:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Maneno ya kinywa changu na kutafakari kwa moyo wangu+

      Na yawe yenye kupendeza mbele zako, Ee Yehova Mwamba+ wangu na Mkombozi wangu.+

  • Zaburi 64:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Nao watu wote wa udongo wataogopa;+

      Nao watatangaza utendaji wa Mungu.+

      Nao hakika watakuwa na ufahamu katika kazi yake.+

  • Zaburi 77:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami hakika nitautafakari utendaji wako wote,+

      Nami nitajishughulisha mwenyewe na matendo yako.+

  • Zaburi 90:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Utendaji wako na uonekane kwa watumishi wako+

      Na fahari yako juu ya wana wao.+

  • Zaburi 111:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Utendaji+ wake ni utukufu na fahari,+

      ו [Waw]

      Na uadilifu wake unasimama milele.+

  • Wafilipi 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mwishowe, akina ndugu, mambo yoyote yaliyo ya kweli, mambo yoyote yaliyo ya hangaiko zito, mambo yoyote yaliyo ya uadilifu, mambo yoyote yaliyo safi kiadili,+ mambo yoyote yaliyo ya kupendeka, mambo yoyote yanayosemwa vema, wema wa adili wowote ulioko na jambo lolote la kustahili sifa lililoko, endeleeni kuyafikiria mambo hayo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki