Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hata wakaambiana: “Na tuchague kiongozi, nasi turudi Misri!”+

  • Hesabu 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo Israeli akajishikamanisha na Baali wa Peori;+ nayo hasira ya Yehova ikaanza kuwaka juu ya Israeli.+

  • 1 Wakorintho 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Wala tusifanye uasherati, kama baadhi yao walivyofanya uasherati,+ na kuanguka, 23,000 kati yao katika siku moja.+

  • 1 Wakorintho 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wala tusimjaribu Yehova,+ kama baadhi yao walivyomjaribu,+ na kuangamizwa na nyoka.+

  • 1 Wakorintho 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wala tusiwe wanung’unikaji, kama baadhi yao walivyonung’unika,+ na kuangamizwa na mwangamizaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki