Hesabu 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata wakaambiana: “Na tuchague kiongozi, nasi turudi Misri!”+ Hesabu 25:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo Israeli akajishikamanisha na Baali wa Peori;+ nayo hasira ya Yehova ikaanza kuwaka juu ya Israeli.+ 1 Wakorintho 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wala tusifanye uasherati, kama baadhi yao walivyofanya uasherati,+ na kuanguka, 23,000 kati yao katika siku moja.+ 1 Wakorintho 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wala tusimjaribu Yehova,+ kama baadhi yao walivyomjaribu,+ na kuangamizwa na nyoka.+ 1 Wakorintho 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wala tusiwe wanung’unikaji, kama baadhi yao walivyonung’unika,+ na kuangamizwa na mwangamizaji.+
3 Kwa hiyo Israeli akajishikamanisha na Baali wa Peori;+ nayo hasira ya Yehova ikaanza kuwaka juu ya Israeli.+
8 Wala tusifanye uasherati, kama baadhi yao walivyofanya uasherati,+ na kuanguka, 23,000 kati yao katika siku moja.+