21 “Mwana wa binadamu, hakika nitauvunja mkono wa Farao mfalme wa Misri,+ na, tazama! hautafungwa hata kidogo ili kuufanya upone kwa kutia kitambaa ili kuufunga,+ ili uwe na nguvu za kushika upanga.”
17 Ole wake mchungaji wangu asiyefaa kitu,+ anayeliacha kundi!+ Upanga utakuwa juu ya mkono wake na juu ya jicho lake la kuume. Mkono wake utakauka+ bila shaka, na jicho lake la kuume bila shaka litaingia giza.”