Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 34:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ili mwasi-imani asitawale,+

      Wala pasiwe na mitego+ ya watu.

  • Ayubu 38:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na nuru yake huzuiwa isiwafikie waovu,+

      Na mkono ulio juu huvunjwa.+

  • Zaburi 37:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana mikono ya waovu itavunjwa,+

      Bali Yehova atakuwa anawategemeza watu waadilifu.+

  • Ezekieli 30:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Mwana wa binadamu, hakika nitauvunja mkono wa Farao mfalme wa Misri,+ na, tazama! hautafungwa hata kidogo ili kuufanya upone kwa kutia kitambaa ili kuufunga,+ ili uwe na nguvu za kushika upanga.”

  • Zekaria 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ole wake mchungaji wangu asiyefaa kitu,+ anayeliacha kundi!+ Upanga utakuwa juu ya mkono wake na juu ya jicho lake la kuume. Mkono wake utakauka+ bila shaka, na jicho lake la kuume bila shaka litaingia giza.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki