-
1 Samweli 7:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Na Samweli akaiambia nyumba yote ya Israeli: “Ikiwa mnarudi kwa Yehova+ kwa mioyo yenu yote, ondoeni miungu ya kigeni iliyo katikati yenu+ na pia zile sanamu za Ashtorethi,+ nanyi mwelekeze mioyo yenu kwa Yehova bila kuyumba-yumba, mkamtumikie yeye peke yake,+ naye atawakomboa kutoka mkono wa Wafilisti.”+
-
-
2 Wafalme 21:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Na zaidi, akaweka sanamu ya kuchongwa+ ya mti mtakatifu aliyokuwa ametengeneza katika nyumba+ ambayo Yehova alikuwa amemwambia Daudi na Sulemani mwana wake hivi: “Katika nyumba hii na katika Yerusalemu, ambalo nimelichagua kutoka katika makabila yote ya Israeli, nitaliweka jina langu mpaka wakati usio na kipimo.+
-