35 ‘Jeuri niliyotendewa mimi na kutendewa mwili wangu na iwe juu ya Babiloni!’ mwanamke mkaaji wa Sayuni atasema.+ ‘Na damu yangu na iwe juu ya wakaaji wa Ukaldayo!’ Yerusalemu atasema.”+
20 “Furahini juu yake, enyi mbingu,+ pia ninyi watakatifu+ na ninyi mitume+ na ninyi manabii, kwa sababu Mungu amemtoza adhabu ya hukumu kwa ajili yenu!”+