Mwanzo 49:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa kweli nitaungoja wokovu kutoka kwako, Ee Yehova.+ Zaburi 27:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Usinifiche uso wako.+Usimgeuzie mbali mtumishi wako kwa hasira.+Uwe msaada wangu.+Usinitupe wala usiniache, Ee Mungu wa wokovu wangu.+ Zaburi 51:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Unikomboe kutokana na hatia ya damu,+ Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu,+Ili ulimi wangu upate kutangaza uadilifu wako kwa shangwe.+ Zaburi 68:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na abarikiwe Yehova, ambaye hutubebea mzigo wetu kila siku,+Mungu wa kweli wa wokovu wetu.+ Sela. Isaya 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+ Luka 1:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 na roho yangu haiwezi kuacha kumfurahia+ Mungu Mwokozi+ wangu;
9 Usinifiche uso wako.+Usimgeuzie mbali mtumishi wako kwa hasira.+Uwe msaada wangu.+Usinitupe wala usiniache, Ee Mungu wa wokovu wangu.+
14 Unikomboe kutokana na hatia ya damu,+ Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu,+Ili ulimi wangu upate kutangaza uadilifu wako kwa shangwe.+
2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+