Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa kweli nitaungoja wokovu kutoka kwako, Ee Yehova.+

  • Zaburi 27:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Usinifiche uso wako.+

      Usimgeuzie mbali mtumishi wako kwa hasira.+

      Uwe msaada wangu.+

      Usinitupe wala usiniache, Ee Mungu wa wokovu wangu.+

  • Zaburi 51:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Unikomboe kutokana na hatia ya damu,+ Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu,+

      Ili ulimi wangu upate kutangaza uadilifu wako kwa shangwe.+

  • Zaburi 68:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na abarikiwe Yehova, ambaye hutubebea mzigo wetu kila siku,+

      Mungu wa kweli wa wokovu wetu.+ Sela.

  • Isaya 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+

  • Luka 1:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 na roho yangu haiwezi kuacha kumfurahia+ Mungu Mwokozi+ wangu;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki