23 Na wewe, Kapernaumu,+ je, labda utainuliwa mpaka mbinguni? Utashuka+ chini mpaka katika Kaburi;*+ kwa sababu kama zile kazi zenye nguvu zilizofanyika ndani yako zingalifanyika Sodoma, lingalidumu mpaka leo hii.
47 Kwa sababu hiyo wakuu wa makuhani na Mafarisayo wakaikusanya pamoja Sanhedrini+ na kuanza kusema: “Tufanye nini, kwa sababu mtu huyu anafanya ishara nyingi?+