1 Samweli 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye Hana akasali+ na kusema:“Moyo wangu unafurahi katika Yehova,+Pembe yangu kweli imeinuliwa katika Yehova.+Kinywa changu kimepanuliwa juu ya adui zangu,Kwa maana ninashangilia katika wokovu kutoka kwako.+ Yohana 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Nimelifunua jina lako kwa watu ulionipa kutoka ulimwenguni.+ Walikuwa wako, nawe ukanipa, nao wamelishika neno lako.
2 Naye Hana akasali+ na kusema:“Moyo wangu unafurahi katika Yehova,+Pembe yangu kweli imeinuliwa katika Yehova.+Kinywa changu kimepanuliwa juu ya adui zangu,Kwa maana ninashangilia katika wokovu kutoka kwako.+
6 “Nimelifunua jina lako kwa watu ulionipa kutoka ulimwenguni.+ Walikuwa wako, nawe ukanipa, nao wamelishika neno lako.