Zaburi 22:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nitalitangaza jina lako+ kwa ndugu zangu;+Katikati ya kutaniko nitakusifu wewe.+ Yohana 10:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kile ambacho Baba+ yangu amenipa ni kikubwa zaidi kuliko vingine vyote,+ na hakuna anayeweza kuwanyakua kutoka mkononi mwa Baba.+ Matendo 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Simioni+ ameeleza kikamili jinsi Mungu kwa mara ya kwanza alivyoelekeza uangalifu wake kwa mataifa ili achukue kutoka kwao watu kwa ajili ya jina lake.+ Waebrania 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kama anavyosema: “Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kutaniko nitakusifu wewe kwa wimbo.”+
29 Kile ambacho Baba+ yangu amenipa ni kikubwa zaidi kuliko vingine vyote,+ na hakuna anayeweza kuwanyakua kutoka mkononi mwa Baba.+
14 Simioni+ ameeleza kikamili jinsi Mungu kwa mara ya kwanza alivyoelekeza uangalifu wake kwa mataifa ili achukue kutoka kwao watu kwa ajili ya jina lake.+
12 kama anavyosema: “Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kutaniko nitakusifu wewe kwa wimbo.”+